• HABARI MPYA

    Sunday, April 26, 2015

    GERRARD, LAMPARD WAPEWA 'HESHIMA YAO' ENGLAND

    VIUNGO  wa zamani wa kimataifa wa England, Steven Gerrard na Frank Lampard usiku huu wamepewa tuzo kutokana na mchango wao mkubwa katika Ligi Kuu ya England.
    Wawili hao wanaohamia Marekani mwishoni mwa msimu baada ya kucheza England kwa muda mrefu, wamepewa tuzo hizo na Chama cha Wachezaji wa Kulipwa (PFA) usiku huu.
    Wote Gerrard na Lampard wanapewa heshima ya wachezaji wa 'kizazi cha dhahabu' England na kwa pamoja wameichezea timu ya taifa mechi 220 baina yao.
    Steven Gerrard and Frank Lampard (right) were honoured with the merit award at the PFA awards on Sunday
    Steven Gerrard na Frank Lampard (kulia) wamepewa tuzo na PFA usiku huu

    PICHA ZAIDI NENDA: 

    http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-3056505/Steven-Gerrard-Frank-Lampard-share-PFA-merit-award-veteran-pair-set-swap-Premier-League-MLS.html#ixzz3YRx8e2tw 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: GERRARD, LAMPARD WAPEWA 'HESHIMA YAO' ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top