• HABARI MPYA

    Friday, February 27, 2015

    INTER MILAN NAYO YASONGA MBELE EUROPA LEAGUE

    Van Dijk contests for the ball alongside Inter Milan striker Mauro Icardi in the Europa League game
    Van Dijk wa Celtic akigombea mpira na mshambuliaji wa Inter Milan, Mauro Icardi katika mchezo wa Europa League usiku huu mjini Milan. Inter walishinda 1-0 ma kusonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 4-3, baada ya sare ya 3-3 awali nchini Scotland.

    PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2970925/Inter-Milan-1-0-Celtic-4-3-agg-Late-Fredy-Guarin-strike-sends-Ronny-Deila-s-10-man-Europe-brave-display.html#ixzz3StXcJanX 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: INTER MILAN NAYO YASONGA MBELE EUROPA LEAGUE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top