![]() |
| Chanongo akimiliki mpira katikati ya wachezaji wa KCC |
![]() |
| Kiungo wa Simba SC, Ramadhani Chombo 'Redondo' anapiga shuti |
![]() |
| Redondo akipambana na Stephen Bengo wa KCC |
![]() |
| Kipa wa KCC, Omar Magoola akiwa amepumzika na mpira baada ya kuudaka ili kupoteza muda kulinda ushindi wa 1-0. Kulia Amisi Tambwe wa Simba SC akimuangalia hasira |
![]() |
| Hapa Tambwe akidhibitiwa na mabeki watatu |
![]() |
| Wa jina; Ramadhani SIngano kulia akiondoka na mpira baada ya kumuacha chini baki wa KCC, huku Ramadhano Chombo 'Redondo akimfuata ili kumsaidia |
![]() |
| Singano akitafuta mbinu za kumtoka beki wa KCC |
![]() |
| Nahodha wa Simba SC jana, Amri Kiemba akimtambulisha mgeni rasmi, Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein kwa wachezaji wenzake wakati anasalimiana na vikosi vya timu zilizokutana katika fainaki |
![]() |
| Taji la 40 haikuwezekana; Kikosi cha Simba SC jana ambacho kama kingeshinda kingeifanya klabu hiyo ifikishe mataji 40 iliyowahi kutwaa |












.png)
0 comments:
Post a Comment