• HABARI MPYA

    Friday, January 31, 2014

    MOURINHO ASAINI BEKI LA KATI CHELSEA KINDA LA MIAKA 19 KUTOKA UFARANSA

    KOCHA Jose Mourinho amekamilisha usajili wa Kurt Zouma kutoka klabu ya  St-Etienne.
    Chelsea imekubali kulipa ada ya uhamisho ya Pauni Milioni 12.5 kwa ajili ya beki huyo wa kati kinda wa umri wa miaka 19, ambaye atabakia Ufaransa kumalizia msimu.
    Kujiamini: Kurt Zouma amejiunga na Chelsea lakini atabakia St Etienne kumalizia msimu
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MOURINHO ASAINI BEKI LA KATI CHELSEA KINDA LA MIAKA 19 KUTOKA UFARANSA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top