• HABARI MPYA

    Thursday, January 23, 2014

    COASTAL WAREJEA DAR 'WANUKIA' MARASHI YA MUSCAT

    Kipa Shaaban Kado akiwaongoza wachezaji wenzake wa Coastal Union kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam jioni hii baada ya kuwasili kutoka Muscat, Oman walipoweka kambi ya wiki mbili kujiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara unaoanza keshokutwa.
    Wananukia marashi ya Muscat

    Coastal watacheza na JKT Oljoro Uwanja wa Mkwakwani Jumamosi

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: COASTAL WAREJEA DAR 'WANUKIA' MARASHI YA MUSCAT Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top