• HABARI MPYA

    Friday, January 31, 2014

    WACHEZAJI TIMU YA LA LIGA WAGOMA KUCHEZA MECHI KWA SABABU HAWAJALIPWA MISHAHARA TANGU SEPTEMBA MWAKA JANA...WALIFIKA UWANJANI VIZURI, LAKINI...

    KLABU ya Racing Santander imefungiwa kucheza michuano ya Kombe la Mfalme mwakani, baada ya wachezaji wake kugomea mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya michuano hiyo jana usiku, kwa sababu hawajalipwa mishahara tangu September. 
    Walifika uwanjani na wakashiriki taratibu zote kuelekea kuanza mchezo Uwanja waCampos de Sport de El Sardinero, lakini wakagoma kucheza dhidi ya Sociedad.
    Refa Gil Manzano aliwauliza wachezaji wa Santander kama watacheza na wakasema hapana, hivyo akamaliza mchezo.
    Mgomo: Wachezaji wa Santander waligoma kucheza dhidi ya Real Sociedad jana kwa sababu hawajalipwa mishahara tangu Septemba mwaka jana
    Appreciative: Santander players applaud fans after supporters backed their decision to boycott the game
    Hapa wanawasilisha kilio chao kwa mashabiki ambao waliwaunga mkono
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: WACHEZAJI TIMU YA LA LIGA WAGOMA KUCHEZA MECHI KWA SABABU HAWAJALIPWA MISHAHARA TANGU SEPTEMBA MWAKA JANA...WALIFIKA UWANJANI VIZURI, LAKINI... Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top