• HABARI MPYA

    Saturday, January 25, 2014

    MOYES ANAVYOHAHA DUNIA NZIMA KUIIMARISHA MAN UNITED...JANA ALIKUWA KWENYE MECHI YA BAYERN KUANGALIA WACHEZAJI

    KOCHA David Moyes alisindikizwa Uwanja wa Borussia Monchengladbach na wakala wa Toni Kroos jana usiku na inaaminika ilikuwa katika harakati za usajili.
    Mshambuliaji wa Bayern Munich, Mario Mandzukic na kiungo wa Moenchengladbach, Patrick Herrmann inaaminika ndio wachezaji ambao kocha huyo wa Manchester United alikuwa anawafuatilia akiwa ameketi jukwaani Borussia Park kuangalia mchezo wa Bundesliga ambao wageni walishinda 2-0.
    Lakini pamoja na hayo imevuma sana kwamba Kroos ndiye chaguo la kwanza la Moyes baada ya kuonekanana wakala wake, Sascha Breese kwenye mechi hiyo.
    Mchapa kazi: Kocha wa Manchester United, David Moyes akiwa na wakala wa Toni Kroos kulia nchini Ujerumani
    Raconteur? David Moyes (left) shares a joke with former Bayern manager Jupp Heynckes (centre)
    Anajiridhisha? David Moyes (kushoto) akitaniana na kocha wa zamani wa Bayern, Jupp Heynckes (katikati)
    Deep in discussion? David Moyes knows he needs to strengthen his squad before the end of January
    Mjadala mzito? David Moyes anafahamu anamuhitaji nani kuimarisha kikosi chake kabla ya mwishoni mwa January
    Incoming? Monchengladbach striker Max Kruse (left) is interesting United but Bayern's Dante (right) isn't
    Anakuja? Mshambuliaji wa Monchengladbach, Max Kruse (kushoto) anatakiwa na United
    The goalscorers: Thomas Muller (right) and Mario Gotze (second left) were again key for Bayern
    Wafungaji: Thomas Muller (kulia) na Mario Gotze (wa pili kushoto) walikuwa mashujaa wa Bayern kwa mara nyingine
    Hitting the target? Max Kruse (centre) could strengthen United's attacking options
    Mkali; Max Kruse (katikati) anaweza kuongeza makali safu ya ushambuliaji ya United
    Looking to impress? Patrick Herrmann hit the post during his side's defeat by Bayern Munich
    Anavutia; Patrick Herrmann aligongesha mwamba timu yake ikifungwa na Bayern Munich
    Left out: Mario Mandzukic (left) could leave Bayern Munich when Robert Lewandowski arrives
    Anaweza kuondoka: Mario Mandzukic (kushoto) anaweza kuruhusiwa kuondoka baada ya Bayern Munich kumsajili Robert Lewandowski
    Ball winner: Javi Martinez (left) would provide United's defence with a much-needed midfield anchor
    Mwenye mpira: Javi Martinez (kushoto) anaweza kuimarisha ngome ya United katika safu ya kiungo
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MOYES ANAVYOHAHA DUNIA NZIMA KUIIMARISHA MAN UNITED...JANA ALIKUWA KWENYE MECHI YA BAYERN KUANGALIA WACHEZAJI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top