• HABARI MPYA

    Sunday, January 26, 2014

    SIMBA SC ILIVYOWAVURUGA WANAJESHI WA TABORA LEO TAIFA...HUYU MTOTO MESSI KWELI NOMA!

    Chini; Ramadhani Singano 'Messi' akienda chini baada ya kukwatuliwa na beki wa Rhino Rangers katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba SC ilishinda 1-0.
    Ramadhani Singano 'Messi' akifanya yake katikati ya wachezaji wa Rhino
    Messi akifanya yake
    Suleiman Jingo wa Rhino mbele ya Haruna Shamte wa Simba
    Messi akimvuta jezi beki wa Rhino
    Ali Badru wa Simba SC akimtoka beki wa Rhino
    Behewa; Amri Kiemba wa Simba SC akimkokota beki wa Rhino
    Amri Kiemba akiambaa na mpira pembeni ya wachezaji wa Rhino
    Amisi Tambwe wa Simba SC akikabiliana na beki wa Rhino
    Betram Mombeki aliingia na kutoka
    Wakubwa; Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC,Zacharia Hans Poppe kulia akiwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya TFF, Geoffrey Nyange 'Kaburu'
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC ILIVYOWAVURUGA WANAJESHI WA TABORA LEO TAIFA...HUYU MTOTO MESSI KWELI NOMA! Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top