• HABARI MPYA

    Monday, January 20, 2014

    RAIS KIKWETE AMUAPISHA JUMA NKAMIA NA WENZAKE KUANZA KAZI RASMI LEO


    Rais Jakaya Kikwete, akimuapisha Juma Nkamia, kuwa Naibu Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, katika hafla fupi iliyofanyika kwenye Viwanja vya Ikulu, jijini Dar es Salaam, leo. Picha na OMR
    Rais Kikwete na Makamu wa Rais katika picha ya pamoja na Mawaziri walioapishwa leo
    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimpongeza Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akiwa na mkewe aliyewahi kuwa Miss Tanzania, Faraja Kotta na áfamilia yake, baada ya kuapishwa katika hafla fupi iliyofanyika kwenye Viwanja vya Ikulu jijini Dar es Salaam, leo. Kulia kwa Makamu ni Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba. Picha na OMR
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RAIS KIKWETE AMUAPISHA JUMA NKAMIA NA WENZAKE KUANZA KAZI RASMI LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top