• HABARI MPYA

    Monday, January 13, 2014

    KUMEKUCHA BALLON D'OR ZURICH, MESSI NA RONALDO WAANZA KUTAMBIANA KWA VIMWANA KWANZA


    Katika zulia jekundu: Cristiano Ronaldo (kushoto) akiwa na mpenzi wake, Irina Shayk na mtoto wao wake wa kiume katika sherehe za tuzo ya Mwanasoka Bora wa Dunia, Ballon d'Or zinazoendelea hivi sasa mjini Zurich, Uswisi.


    Uso wa mbuzi: Lionel Messi na Antonella Roccuzzo wakiwasili kwenye sherehe Ballon d'Or akiwa amekasirika


    Franck Ribery naye amefika mpenzi wake, mwanamitindo Adriana Lima
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KUMEKUCHA BALLON D'OR ZURICH, MESSI NA RONALDO WAANZA KUTAMBIANA KWA VIMWANA KWANZA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top