![]() |
| Beki wa Ashanti akimpiga teke la kung'fu beki wa Simba SC, Issa Rashid 'Baba Ubaya' |
![]() |
| Beki mcheza rafu wa Ashanti akimpa kitu Amisi Tambwe wa Simba SC |
![]() |
| Ramadhani Singano 'Messi' akimgeuza beki wa Ashanti |
![]() |
| Beki wa Ashanti akiupitia mpira miguuni mwa Tambwe |
![]() |
| Daktari wa Simba SC, Yassin Gembe akimtibu Amisi Tambwe |
![]() |
| Yalaa! Tambwe akiugulia maumivu baada ya kuchezewa rafu na beki wa Ashanti |
![]() |
| Wauaji watatu; Kutoka kulia Ramadhani Singano 'Messi', Betram Mombeki na Amisi Tambwe wakishangilia bao la nne |
![]() |
| Messi akiwatoka mabeki wa Ashanti |
![]() |
| Betram Mombeki akimtoka beki wa Ashanti |
![]() |
| Said Ndemla akimpiga changa mbaya mchezaji wa Ashanti |
![]() |
| Beki Haruna Shamte wa Simba SC akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Ashanti |
![]() |
| Betram Mombeki akienda chini baada ya kupitiwa na mpira wake na beki wa Ashanti |
![]() |
| Beki wa Ashanti akienda chini baada ya kupamiwa na Amisi Tambwe kushoto |
![]() |
| Jonas Mkude amemlamba chenga Paul Maona wa Ashanti |
![]() |
| Simba SC wakishangilia moja ya mabao yao |
![]() |
| Ashanti United wakishangilia bao lao la kwanza |
![]() |
| 11 wa Simba SC walioanza leo |
![]() |
| 11 wa Ashanti walioanza leo |
![]() |
| Sijui nihame hii timu; Shabiki wa kike wa Ashanti kulia akiwa mwenye majonzi baada ya timu yake kufungwa bao la nne |























.png)
0 comments:
Post a Comment