• HABARI MPYA

    Sunday, November 24, 2013

    BALOTELLI AZUA LINGINE ITALI BAADA YA KUTWEET "THIS IS THE END"

    MSHAMBULIAJI Mario Balotelli amewachangasha tena mashabiki wake leo baada ya kutweet 'this is the end' (huu ni mwisho) saa kadhaa baada ya kukosa penalti AC Milan ikilazimishwa sare ya 1-1 na Genoa.
    Mshambuliaji huyo hatari, alitweet ujumbe huo Kiingerezamajira ya saa 11 Alfajiri kwa sa za kwao katika akaunti yake ya @finallymario.
    Pamoja na hayo, saa sita baadaye akatuma ujumbe mwingine wa tweet Kitaliano, uliosomeka: ‘Forza Milan comunque e sempre.’ ambao Kiingereza ni 'Go on Milan, no matter how and forever'.
    Mwisho wa barabara? Mario Balotelli alikosa penalti timu yake AC Milan inayosuasua ikilazimishwa sare ya 1-1 na Genoa
    What does he mean? Balotelli tweets after AC Milan's draw with Genoa
    Anamaanisha nini? Balotelli ametweet baada ya sare ya AC Milan na Genoa
    Turn around? Balotelli later tweeted his support for Milan a few hours later
    Spot of bother: Balotelli misses a penalty against Genoa
    Balotelli akipiga penalti aliyokosa
    No joy: Balotelli has missed two penalties this season
    Hakuna furaha: Balotelli amekosa penalti mbili msimu huu
    Down and out: Mario Balotelli looks dejected as AC Milan fail to win again
    Down and out: Mario Balotelli looks dejected as AC Milan fail to win again
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BALOTELLI AZUA LINGINE ITALI BAADA YA KUTWEET "THIS IS THE END" Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top