• HABARI MPYA

    Tuesday, June 04, 2013

    NEYMAR ASEMA AMETUA BARCA KUMSAIDIA MESSI AENDELEE KUWA MCHEZAJI BORA DUNIANI

    IMEWEKWA JUNI 4, 2013 SAA 2:00 ASUBUHI
    BAADA ya kukamilisha uhamisho wake kutua Barcelona, Neymar ambaye anaungana na Lionel Messi kuunda safu mpya kali ya ushambuliaji, ameweka wazi malengo yake.
    Mbrazil huyo alisafiri moja kwa moja kwenda Hispania baada ya Brazil kutoa sare ya 2-2 nyumbani na England mjini Rio de Janeiro Jumapili, na katika mahojiano aliyofanyiwa kwenye Uwanja wa Nou Camp alisema: "Nipo kumsaidia na kumsaidia Messi kuendelea kuwa mchezaji bora duniani,".
    Neymar alipokewa kifalme katika Uwanja wa Ndege wa Barcelona - kabla ya kupelekwa kwenye ofisi za klabu hiyo kwa ajili ya kupigwa picha akiwa na jezi ya Blaugrana kisha kwenda kufanyiwa vipimo vya afya.
    Arrival: Neymar was unveiled as a Barcelona player at the Nou Camp on Monday
    Neymar alitambulishwa kuwa mchezaji mpya wa Barcelona Nou Camp jana
    Welcome: The Brazilian has signed a five-year deal with the Catalan club
    Mbrazil huyo amesaini Mkataba wa miaka mitano Catalan
    Juggling: Neymar showed off his skills to the Nou Camp crowd
    Neymar akionyesha uwezo wake wa kuchezea mpira mbele ya umati wa Nou Camp
    FC Barcelona's new signing Neymar
    Dynamic duo: Neymar will join Lionel Messi in a formidable partnership for Barcelona
    Neymar anaungana na 'mchawi' huyu Lionel Messi kuunda safu kali ya ushambuliaji Barcelona
    Meet and greet: Barcelona's president Sandro Rosell welcomes Neymar to the Nou Camp
    Rais wa Barcelona, Sandro Rosell akimkaribisha Neymar Nou Camp
    Crowd: Neymar waves to the fans gathered at the Nou Camp as he walks onto the pitch for the first time
    Neymar akipungia mkono mashabiki Nou Camp 
    Fans: Neymar highfives young supporters on the Nou Camp pitch
    Neymar akisalimiana na mashabiki watoto wa Barca Uwabnja wa Nou Camp
    Put through his paces: Neymar passed his medical before being unveiled on the pitch
    Neymar akifanyiwa vipimo vya afya
    Put through his paces: Neymar passed his medical before being unveiled on the pitch
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: NEYMAR ASEMA AMETUA BARCA KUMSAIDIA MESSI AENDELEE KUWA MCHEZAJI BORA DUNIANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top