• HABARI MPYA

    Thursday, December 03, 2020

    SIMBA SC YARIDHIA MASHABIKI WOTE KUINGIA BENJAMIN MKAPA MECHI NA PLATEAU UNITED JUMAMOSI


    Taarifa hii inafuatia Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kupinga tamko lililotolewa Afisa Habari wa klabu hiyo, Haji Sunday Manara kwamba mechi dhidi ya Plateau United wataruhusiwa kuingia mashabiki wa Simba SC pekee.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC YARIDHIA MASHABIKI WOTE KUINGIA BENJAMIN MKAPA MECHI NA PLATEAU UNITED JUMAMOSI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top