• HABARI MPYA

    Wednesday, December 02, 2020

    REAL MADRID YACHAPWA 2-0 NA SHAKHTAR DONETSK


    Mabao ya Dentinho dakika ya 57 na Manor Solomon dakika ya 82 jana yaliipa Shakhtar Donetsk ushindi wa 2-0 dhidi ya Real Madrid kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa NSK Olimpiki mjini Kyiv. Kwa matokeo hayo, Shakhtar Donetsk inapanda nafasi ya tatu ikifikisha pointi saba sawa na Real Madrid inayoangukia nafasi ya tatu, wakizidiwa pointi moja na Borussia Monchengladbach inayoongoza, wakati Inter Milan inashika mkia kwa pointi zake tano
     

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: REAL MADRID YACHAPWA 2-0 NA SHAKHTAR DONETSK Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top