• HABARI MPYA

    Friday, December 04, 2020

    KIUNGO WA YANGA, MAPINDUZI BALAMA APELEKWA AFRIKA KUSINI KWA UCHUNGUZI NA MATIBABU ZAIDI


    Kiungo wa Yanga SC, Mapinduzi Balama ameondoka jana kwenda Afrika Kusini kufanyiwa uchunguzi zaidi na matibabu baada ya kuumia mwishoni mwa msimu uliopita.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KIUNGO WA YANGA, MAPINDUZI BALAMA APELEKWA AFRIKA KUSINI KWA UCHUNGUZI NA MATIBABU ZAIDI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top