• HABARI MPYA

    Thursday, December 03, 2020

    BILA MESSI BARCELONA YASHINDA 3-0 UGENINI LIGI YA MABINGWA ULAYA


    MABAO ya Antoine Griezmann dakika ya 14, Martin Braithwaite dakika ya 20 na Ousmane Dembele dakika ya 28 kwa penalti jana yaliipa Barcelona ushindi wa 3-0 dhidi ya Ferencvaros kwenye mchezo wa Kundi G Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Puskas Arena, Budapest, Hungary. Barcelona ambayo ilicheza bila Nahodha wake, Lionel Messi imeshatinga 16 Bora kwa pamoja na Juventus
     

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BILA MESSI BARCELONA YASHINDA 3-0 UGENINI LIGI YA MABINGWA ULAYA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top