Vincenzo Grifo (kulia) akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Italia mabao mawili dakika za 14 na 75 kwa penalti katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Estonia, mabao mengine yakifungwa na Federico Bernardeschi dakika ya 27 na Riccardo Orsolini kwa penalti pia dakika ya 86 kwenye mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Artemio Franchi Jijini Firenze PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rangers: Ex-chairman Dave King insists ousting Mike Ashley was key moment in club's journey to title
-
Victory over St Mirren came on the sixth anniversary of the EGM in which
King and his colleagues forced boardroom change at Ibrox, ousting a Mike
Ashley-in...
43 minutes ago
0 comments:
Post a Comment