Kiungo Mtaliano mwenye asili ya Brazil, Jorge Luiz Frello Filho 'Jorginho' akiwa ameshika jezi ya Chelsea pamoja na kocha mpya wa timu hiyo, Maurizio Sarri kufuatia kukamilisha uhamisho wa Pauni 57 kutoka Napoli ya Italia. Jorginho alikuwa anatakiwa pia na Manchester City ambao wamelalamika Napoli kumlazimisha mchezaji huyo kuhamia Chelsea PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man City's Double Treble quest could still disintegrate into nothing after
penalty heartbreak against Real... Pep Guardiola must rally his troops -
but a crucial week has just got bigger, writes JACK GAUGHAN
-
JACK GAUGHAN AT THE ETIHAD: Bernardo Silva did fire a warning earlier in
the week. A warning of what lay around the corner. A warning that a
potential Treb...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment