Kiungo wa Mtibwa Sugar, Hassan Dilunga akisaini mkataba wa miaka miwili kujiunga na Simba SC leo mjini Dar es Salaam. Dilunga anayesajiliwa siku moja baada ya Simba SC kufungwa 1-0 na Azam FC katika fainali ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame alikuwa anatakiwa pia na klabu yake ya zamani, Yanga SC
WWE make shock decision to RELEASE former world champion - who argues he
QUIT and wasn't let go - as three superstars suddenly part ways with the
company
-
It came as AJ Styles defeated LA Knight in a No 1 contenders match, with
the former besting his opponent with a thumb to the eye and a Phenomenal
Forearm.
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment