Lucas Moura akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Tottenham Hotspur dakika za 28 na 44 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Roma katika mchezo Kombe la Mabingwa wa Kimataifa Uwanja wa San Diego County Credit Union mjini San Diego, California, Marekani. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Fernando Llorente dakika za tisa na 18, wakati la kufutia machozi la Roma limefungwa na Patrik Schick dakika ya tatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iran's famed singer Googoosh recalls family, exile and life in the spotlight
-
DUBAI, United Arab Emirates (AP) — For Googoosh, Iran's most-famous singer,
life always has been balancing act of one kind or another.
26 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment