Beki Virgil van Dijk (wa pili kushoto) akiwa juu kuifungia kwa kichwa Liverpool dakika ya 25 ikilala 3-1 mbele ya timu ya zamani ya kocha wao, Jurgent Klopp, Borussia Dortmund katika mchezo wa urafiki usiku huu Uwanja wa Bank of America mjini Charlotte, North Carolina, Marekani. Mabao ya Borussia Dortmund yamefungwa na Christian Pulisic kwa penalti dakika ya 66 na Jacob Bruun Larsen dakika ya tatu ya muda wa nyongeza baada ya kutimia dakika 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment