Mshambuliaji wa Arsenal, Pierre-Emerick Aubameyang (mbele) akiwa kwenye maji akiupoza mwili baada ya mazoezi ya leo Uwanja wa Colney mjini London chini ya kocha mpya, Mspaniola, Unai Emery aliyechukua nafasi ya kocha wa muda mrefu, Mfaransa Arsene Wenger. Arsenal inatarajiwa kwenda Singapore Jumapili kushiriki Kombe la Mabingwa wa Kimataifa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Haatem set to join stable star Rosallion in the 2000 Guineas next month
after dominant victory in the Craven Stakes at Newmarket
-
Richard Hannon unleashed the devastating winner of the most important 2000
Guineas trial on Thursday - but it was a horse at home who had him purring.
59 minutes ago
0 comments:
Post a Comment