• HABARI MPYA

    Saturday, May 16, 2015

    MAMBO YA TIANNA SI MCHEZO, ASHINDA MIRUKO YA WANAWAKE DOHA

    Tianna Bartoletta leaps during the women's long jump event at the Diamond League meeting in Doha
    Mwanariadha wa Marekani, Tianna Bartoletta akiruka juu katika mashindano ya kuruka vihunzi ya wanawake ya Diamond League mjini Doha, Qatar. Tianna alishinda kwa kutumia muda wa dakika 6 na sekunde 99, ingawa awali Lorraine Ugen wa Uingereza alitangazwa mshindi kimakosa kabla ya dakika 10 baadaye kutajwa mshindi halisi. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAMBO YA TIANNA SI MCHEZO, ASHINDA MIRUKO YA WANAWAKE DOHA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top