Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akidhibitiwa na wachezaji wa Atletico Madrid, Koke na Mario Suarez katika Robo Fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku huu Uwanja wa Vicente Calderon mjini Madrid. Timu hizo zilitoka 0-0.
PICHA ZAIDI NENDA:


.png)
0 comments:
Post a Comment