BAYERN MUNICH WATINGA NUSU FAINALI LIGI YA MABINGWA ILE KIBABE HASWA
ad with 10 minutes of the first half still remaining
Mshambuliaji wa Bayern Munich, Thomas Muller akishangilia na mchezaji mwenzake, Thiago baada ya ushindi wa 6-1 dhidi ya FC Porto katika mchezo wa marudiano wa Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Ulaya jana Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich, Ujerumani. Mabao mengine ya Bayern yalifungwa na Thiago, Boateng, Lewnadowski mawili na Alonso 88, wakati la Porto lilifungwa na Martinez,dakika ya 73. The Bavarians sasa wanasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 7-4 baada ya awali kufungwa 3-1 mjini Munich.
Mainoo wants Man Utd exit - Saturday's gossip
-
Manchester United open talks with Antoine Semenyo but Kobbie Mainoo keen to
leave Old Trafford, Bournemouth and Crystal Palace in for Brennan Johnson
and t...
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment