IBRAHIMOVIC KUIKOSA MECHI YA MARUDIANO NA CHELSEA DARAJANI BAADA YA KUUMIZWA NA DAVID LUIZ JANA
MSHAMBULIAJI Zlatan Ibrahimovic ataukosa mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kutokana na kuumia nyama za paja jana timu yake Paris Saint-Germain ikiichapa mabao 3-1 Chelsea katika robo fainali ya kwanza. Mwanasoka huyo wa kimataifa wa Sweden aliuamia baada ya kugongana na beki wa Chelsea, David Luiz dakika ya 68 na sasa atatakiwa kuwa nje kwa wiki tatu. Ibrahimovic mwenye umri wa miaka 32 ambaye ni tegemeo la PSG katika kampeni za kutwaa taji la Ulaya na mengine ya nyumbani kukosekana kwake katika mchezo wa Stamford Bridge Jumanne ijayo litakuwa pigo kwa timu yake. Maumivu makubwa: Zlatan Ibrahimovic akiugulia maumivu jana
Item Reviewed: IBRAHIMOVIC KUIKOSA MECHI YA MARUDIANO NA CHELSEA DARAJANI BAADA YA KUUMIZWA NA DAVID LUIZ JANA
Rating: 5
Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
Redknapp runner among King George contenders
-
Fact To File, Gaelic Warrior and Harry Redknapp's The Jukebox Man head the
confirmations for the King George VI Chase at Kempton on Boxing Day.
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment