• HABARI MPYA

    Monday, April 28, 2014

    MADOGO WA NGORONGORO WALIVYOWATOA WAKENYA JANA NA KUJIWEKA KWA NIGERIA

    Kiungo wa timu ya taifa ya vijana ya Tanzania chini ya umri wa miaka 20, Ngorongoro Heroes, Mudathir Yahya akimtoka kiungo wa Kenya katika mchezo wa jana kuwania tiketi ya Fainali za Afrika nchini Senegal mwakani. Tanzania iliitoa Kenya kwa penalti 4-3 baada ya sare ya jumla ya 0-0. Ngorongoro sasa itamenyana na Nigeria katika hatua inayofuata.
    Kevin Friday wa Tanzania akimuacha chini beki wa Kenya
    Wachezaji wa Tanzania wakishangilia baada ya mechi
    Ally Bilal wa Tanzania akimtoka Hillary Dan wa Kenya
    Mange Chagula wa Tanzania kushoto akigombea mpira na Hillary Dan wa Kenya aliye tayari kusaidiwa na wenzake
    Kipa wa Kenya, Farouk Shikhalo akidaka mpira huku akilindwa na beki wake, Hillary Dan aliye mbele ya Ally Bilal wa Tanzania
    Kevin Friday wa Tanzania kulia akimtoka Victor Ndinya wa Kenya
    Mange Chagula wa Tanzania akiteleza na mpira mbele ya Evans Makari wa Kenya
    Iddi Suleiman wa Tanzania akiwatoka mabeki wa Kenya
    Iddi Suleiman wa Tanzania akimuacha chini beki wa Kenya
    Benchi la Ufundi la Tanzania wakati wa penalti jana

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MADOGO WA NGORONGORO WALIVYOWATOA WAKENYA JANA NA KUJIWEKA KWA NIGERIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top