• HABARI MPYA

    Thursday, November 07, 2013

    JOHN BOCCO 'ADEBAYOR' ALIVYOPASULIWA HADI DAMU NA BEKI LA MBEYA CITY LEO CHAMAZI

    Mshambuliaji wa Azam FC, John Bocco 'Adebayor' akitokwa damu baada ya kupasuliwa juu ya jicho la kushoto na beki wa Mbeya wa City, Yussuf Abdallah wakati wakigombea mpira wa juu katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka 3-3.
    Ilianzia hapa walikutana hewani
    Wakaenda sakafuni wote
    Akabaki na maumivu
    Damu
    Akatibiwa na Dk Mwanandi Mwankemwa

     



    Alirejea uwanjani na akafunga bao moja



    Baada ya mechi

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: JOHN BOCCO 'ADEBAYOR' ALIVYOPASULIWA HADI DAMU NA BEKI LA MBEYA CITY LEO CHAMAZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top