![]() |
| Salum Abubakar 'Sure Boy' wa Azam akimtoka mchezaji wa Mbeya City |
![]() |
| Joseph Kimwaga wa Azam FC kulia akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Mbeya City |
![]() |
| Kipre Tchetche kulia |
![]() |
| Kipre Balou |
![]() |
| Kipre Tchetche |
![]() |
| Kipre Tchetche akiwahisha mpira katikati baada ya kuifungia bao Azam |
![]() |
| Mfungaji wa mabao yote matatu ya Mbeya City katika sare ya 3-3 Mwagane Yeya 'Morgan' |
![]() |
| John Bocco akigombea mpira wa juu na kipa wa Mbeya City, David Burhan |
![]() |
| Humphrey Mieno akimtoka beki wa Mbeya City |
![]() |
| Farid Mussa wa Azam akipambana na wachezaji wa Mbeya City |
![]() |
| Erasto Nyoni wa Azam akimtoka beki mwenzake wa Mbeya City |
![]() |
| Kipa wa Mbeya City, David Burhan akiwania mpira wa juu |
![]() |
| Farid Mussa na mchezaji wa Mbeya City |
![]() |
| Humphrey Mieno akipambana na wachezaji wa Mbeya City |
![]() |
| Kikosi cha Azam FC leo |
![]() |
| Mbeya City leo |
![]() |
| Mbeya City wakiomba dua kabla ya mechi |
![]() |
| Mashabiki wa Mbeya City wakiwa wameduwaa baada ya Azam kusawazisha |
![]() |
| Suleiman Matola kushoto alikuwepo Chamazi |






















.png)
0 comments:
Post a Comment