• HABARI MPYA

    Thursday, October 31, 2013

    MAN CITY NA MAN UNITED ZATENGANISHWA ROBO FAINALI KOMBE LA LIGI, SPURS YAPEWA WEST HAM, CHELSEA...

    DROO YA ROBO FAINALI KOMBE LA LIGI ENGLAND

    Leicester v Man City
    Stoke City v Man United
    Sunderland au Southampton v Chelsea
    Tottenham v West Ham
    Mechi zitachezwa Desemba 16, mwaka huu
    KLABU ya Tottenham itamenyana na West Ham katika Robo Fainali za Kombe la Ligi, maarufu kama Capital One wakitakiwa kulipa kisasi cha kufungwa mabao 3-0 katika Ligi Kuu  mwezi huu.
    Spurs ilipigana na kutoka nyuma kwa mabao 2-1 katika dakika za nyongeza na kuipiga Hull Jumatano mabao 8-7 kwa mikwaju ya penalti.
    Katika mechi nyingine za hatua hiyo ya michuano hiyo, Manchester United itasafiri hadi Stoke wakati Manchester City itamenyana na Leicester.
    Mauling: West Ham thrashed Tottenham in the Premier League earlier this month
    Edgy: Tottenham celebrate beating Hull in a penalty shoot-out to progress to the last eight
    Edgy: Tottenham celebrate beating Hull in a penalty shoot-out to progress to the last eight
    City haijatwaa taji hilo tangu mwaka 1976 walipoifunga Newcastle 2-1, na walika The Magpies waliotolewa na timu hiyo katika Raundi ya Nne Jumatano, mabao ya Alvaro Negredo na Edin Dzeko Uwanja wa St James Park.
    Kept apart: Manchester United (above) and Manchester City both face trips away in the quarter-finals
    Kept apart: Manchester United (above) and Manchester City both face trips away in the quarter-finals
    Manchester City
    Chelsea, beaten semi-finalists last year, are also on the road, but will have to wait until next Wednesday to discover their opponents.

    Timu ya Jose Mourinho, Chelsea iliyoitoa Arsenal kwa mabao 2-0 Jumanne itamenyana na Sunderland au Southampton.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN CITY NA MAN UNITED ZATENGANISHWA ROBO FAINALI KOMBE LA LIGI, SPURS YAPEWA WEST HAM, CHELSEA... Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top