• HABARI MPYA

    Friday, October 25, 2013

    KILIMANJARO PREMIUM LAGER YALETA BONGE LA BONANZA LA NANI MTANI JEMBE JUMAPILI HII

    • Kilimanjaro Premium Lager inawakaribisha kushuhudia Bonanza kubwa la aina yake Jumapili hii tarehe 27 October!,Kuanzia saa nne Asubuhi. Mashabiki wa timu hizi kubwa Tanzania watashindana katika michezo mbalimbali kama vile;
    *      Kuvutana kamba!!.
    *      Foos Ball!!
    *      Soka la wachezaji saba kila upande aka “Seven aside” nk,
    Ø  Myama Choma na Burudani nyingine nyingi zitakuwepo…

    • Mkoani Mwanza; Bonanza la Kili Nani Mtani Jembe litafanyika katika uwanja wa Polisi Mabatini!!. Kutumbuiza jukwaani watakuwepo Sebedack Music Band… wana Kusebeduka!..

    • Mkoani Arusha; Bonanza la Kili Nani Mtani Jembe litafanyika katika viwanja vya General Tyre!!. Jukwaani watakuwepo…The Aqua Band!..

    • Mkoani Mbeya; Bonanza la Kili Nani Mtani Jembe litafanyika katika uwanja wa Chuo cha Uhasibu!!. jukwaani burudani kutoka kwa wana Mtipe Mtipe Music Band… wazee wa misumari!..

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KILIMANJARO PREMIUM LAGER YALETA BONGE LA BONANZA LA NANI MTANI JEMBE JUMAPILI HII Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top