• HABARI MPYA

    Saturday, April 27, 2013

    MAN CITY YASHINDA 2-1 DHIDI YA WEST HAM, MAREHEMU FOE AKIENZIWA UWANJANI MIAKA 10 BAADA YA KIFO CHAKE


    Up and running: Sergio Aguero capped off a magical City move, pouncing onto David Silva's intricate pass to fire past Jussi Jaaskelainen
    Sergio Aguero akiifungia Manchester City kwa pasi ya David Silva akimtungua kipa Jussi Jaaskelainen. City walishinda 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu England jioni hii na kujiimarisha katika nafasi ya pili. Tayari Man United wametwaa ubingwa wa ligi hiyo. Chini akishangilia na Nasri.
    Up and running: Sergio Aguero capped off a magical City move, pouncing onto David Silva's intricate pass to fire past Jussi Jaaskelainen
    Letting fly: Yaya Toure readies to unleash his howitzer, giving Jaaskelainen no chance
    Acha ipae: Yaya Toure akijiandaa kuifungia City bao la pili kwa kumtungua Jaaskelainen. Chini akishangilia na wenzake.
    Match-winner: Yaya Toure's dazzling strike put the game beyond the visitors
    Tribute: Both sets of fans paid their respects to Marc-Vivien Foe in the 23rd minute following the Cameroonian's tragic death in 2003
    Amenziwa: Mashabiki wa timu leo wamemuenzi marehemu Marc-Vivien Foe kwa kusimama dakika ya 23 kufuatia kifo cha kiungo huyo Mcameroon uwanjani mwaka 2003.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: MAN CITY YASHINDA 2-1 DHIDI YA WEST HAM, MAREHEMU FOE AKIENZIWA UWANJANI MIAKA 10 BAADA YA KIFO CHAKE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top