• HABARI MPYA

    Sunday, April 28, 2013

    AZAM FC WAPAA MOROCCO KWA DEGE LA ARSENAL JIONI HII KWENDA KUWEKA HISTORIA AFRIKA

    Wachezaji wa Azam FC, Khamis Mcha 'Vialli' kushoto na Aishi Manula kulia wakiwa kwenye foleni ya mstari wa kuingia ndani ya Uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Nyerere, Dar es Salaam mida hii tayari kwa safari ya Morocco kwenda kucheza mechi ya marudiano na wenyeji FAR Rabat Jumapili ijayo katika Raundi ya Tatu Kombe la Shirikisho. Azam inayoondoka kwa ndege ya Emirates, wadhamini wa Arsenal, inahitaji sare ya mabao au ushindi ili kusonga mbele.

    Kocha Muingereza, Stewart Hall na wachezaji wake tayari kuingia ndani

    Kipre Tchetche akishuka kwenye basi baada ya kufika Uwanja wa Ndege

    Kipre Balou...

    Kutoka kulia Salum Abubakar 'Sure Boy', Gaudence Mwaikimba na Meneja Msaidizi, Jemadari Said

    Mabosi; Wapenzi na viongozi wa Azam, katikati ni Daktari Mwanandi Mwankmewa 

    Furaha tupu; Kutyoka kulia David Mwantika, Jackson Wandwi na Waziri Salum

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: AZAM FC WAPAA MOROCCO KWA DEGE LA ARSENAL JIONI HII KWENDA KUWEKA HISTORIA AFRIKA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top