• HABARI MPYA

    Saturday, April 20, 2013

    DEMBA BA ATAKA BENITEZ AMUANZISHE NA TORRES DHIDI YA LIVERPOOL KESHO WAFANYE MAUAJI YA KIHISTORIA

    MSHAMBULIAJI Demba Ba amemuambia kocha wa Chelsea, Rafa Benitez kwamba wapange yeye na Fernando Torres katika safu ya ushambuliaji kesho katika mechi ya Ligi Kuu ya England dhidi ya Liverpool.

    Benitez ambaye amekuwa akiwazungusha wachezaji hao katika mfumo wa 4-2-3-1 tangu Ba ajiunge nao kutoka Newcastle Januari, lakini wakicheza pamoja walifanya vizuri kipindi cha pili wiki iliyopita katika Nusu Fainali ya Kombe la FA dhidi ya Manchester City.
    Benitez anakabiliwa na kigugumizi cha kuamua kuhusu kikosi chake, akiwa hana imani na kumuanzisha Torres dhidi ya timu yake ya zamani na kwa kiwango cha Ba inamfanya adharau kabisa, lakini Msenegali huyo amesema wanaweza kucheza pamoja. 
    Ba
    Torres
    Pacha uwanjani? Demba Ba (kushoto) anataka kucheza pacha na Fernando Torres katika safu ya ushambuliaji Chelsea
    Aliiambia Evening Standard: "Alipoingia uwanjani akitokea benchi dhidi ya City alinisaidia sana. Tuliwatia misukosuko, hivyo nafikiri tunaweza kucheza pamoja. Chelsea
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: DEMBA BA ATAKA BENITEZ AMUANZISHE NA TORRES DHIDI YA LIVERPOOL KESHO WAFANYE MAUAJI YA KIHISTORIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top