Mwanasoka wa kike wa Australia mwenye asili ya Misri, Assmaah Helal akiwa amevalia hijab ya kiislam katika mazoezi mjinji Sydney hivi karibuni (February 23, 2012). Mchezaji huyo ni mzuri, lakini sheria tata ya ya FIFA kuzuia vazi hilo la kiislamu katika soka inamaanisha hawezi kuonyesha kipaj chake na kutimiza ndoto zake kupitia mchezo huo akiwa na jezi ya Australia. Assmah amesema hijab ni sehemu ya utambulisho wa mwanamke wa kiislamu na ameiomba FIFA ifikirie upya suala hilo. AFP PHOTO / Torsten BLACKWOOD
No time for a rest! England face nightmare run of FOUR games in just 12
days during hectic 2026 World Cup
-
England's games will essentially be crammed into a week less because they
have been drawn in Group L and will not play game one until six days after
the Wo...
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment