• HABARI MPYA

    Tuesday, March 09, 2021

    SIMBA SC YAKATA RUFAA CAF EL MERREIKH ILITUMIA WACHEZAJI WAWILI WALIOFUNGIWA NCHINI SUDAN


    KLABU ya Simba imepeleka malalamiko Shirikisho la Soka Afrika (CAF) juu ya El Merreikh ya Sudan kutumia wachezaji wawili waliofungiwa kwenye mechi baina yao ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
    Simba SC ililazimisha sare ya 0-0 na El Merreikh Jumamosi mjini Omdurman katika mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Afrika na siku hiyo inadaiwa wenyeji walitumia wachezaji wawili wasio halali.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC YAKATA RUFAA CAF EL MERREIKH ILITUMIA WACHEZAJI WAWILI WALIOFUNGIWA NCHINI SUDAN Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top