BAO pekee la Paul Pogba dakika ya 48 liliipa Manchester United ushindi wa 1-0 dhidi ya AC Milan katika mchezo wa marudiano Hatua ya 16 Bora Europa League jana Uwanja w aGiuseppe Meazza Jijini Milan, Italia.
Kwa matokeo hayo, Manchester United inatinga Robo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 2-1 kufuatia sare ya 1-1 kwenye mchezo wa kwanza England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
0 comments:
Post a Comment