MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Poland, Robert Lewandowski jana amefunga mabao matatu Bayern Munich ikiibuka na ushindi wa 4-2 dhidi ya Borussia Dortmund katika mchezo wa Bundesliga Uwanja wa Allianz Arena Jijini Munich – bao lingine la Bavarian likifungwa na Leon Goretzka, wakati ya Dortmund yalifungwa na kinda nyota wa miaka 20, Mnorway Erling Haaland PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Warriors Rumors: Gary Payton II to Sign 2nd 10-Day Contract with GSW
-
The Warriors are bringing back Gary Payton II. According to Anthony Slater
of The Athletic, the Dubs plan to sign him to a second 10-day contract...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment