TIMU ya Arsenal jana imewaadhibu wapinzani wao wa Kaskazini mwa London, Tottenham Hotspur kwa kuwachapa mabao 2-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates, London.
Erik Lamela alianza kuifungia Spurs dakika ya 33, kabla ya Martin Odegaard kuisawazishia Arsenal dakika ya 44 na Alexandre Lacazette kufunga la ushindi dakika ya 64 kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
0 comments:
Post a Comment