Mshambuliaji mpya wa DC United, Wayne Rooney akishangili na wachezaji wenzake, Yamil Asad na Taylor Kemp baada ya kutokea benchi na kuisaidia timu yake kushinda 3-1 dhidi ya Vancouver Whitecaps kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Marekani (MLS) alfajiri ya leo Uwanja wa Audi Field mjini Washington, DC. Mabao ya DC yamefungwa na Yamil Asad dakika ya 27, Paul Arriola dakika ya 69 na 80 kwa pasi ya Rooney wakati la kufutia machozi la timu ya Canada, Vancouver Whitecaps PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jayson Tatum, Celtics Ridiculed By NBA Fans for Game 2 Loss to Heat With
Butler Out
-
Shooting the lights out is a pretty good strategy to adopt when you're
missing your best player. The Miami Heat evened up their first-round NBA
playoff ser...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment