Mshambuliaji mpya wa DC United, Wayne Rooney akishangili na wachezaji wenzake, Yamil Asad na Taylor Kemp baada ya kutokea benchi na kuisaidia timu yake kushinda 3-1 dhidi ya Vancouver Whitecaps kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Marekani (MLS) alfajiri ya leo Uwanja wa Audi Field mjini Washington, DC. Mabao ya DC yamefungwa na Yamil Asad dakika ya 27, Paul Arriola dakika ya 69 na 80 kwa pasi ya Rooney wakati la kufutia machozi la timu ya Canada, Vancouver Whitecaps PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ibrahima Konate misses second Liverpool match after death of his father, as
he shares heartfelt message following funeral in France
-
Ibrahima Konate is missing his second Liverpool game in succession after
the tragic death of his father, Hamady, last week in France.
38 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment