Bondia Lucas Matthysse akiwa amelala chini baada ya kuangushwa na mpinzani wake, Manny Pacquiao usiku wa kuamkia leo katika pambano la kuwania taji la WBA uzito wa welter mjini Kuala Lumpur, Malaysia. Kuala Lumpur on Sunday. Pacquiao mwenye umri wa miaka 39, ameshinda kwa Knockout (KO) raundi ya saba baada ya kumuangusha Matthysse mara tatu na kuweka rekodi ya kushinda mapambano 60 kati ya 69 aliyocheza, akipoteza saba na sare mbili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Racing driver's haunting final post just hours before tragic death in
seven-car crash during race that Formula One star Max Verstappen was taking
part in
-
A racing driver who was killed in a horror seven-car crash at Germany's
iconic Nurburgring circuit had shared his excitement at competing in the
event just...
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment