Bondia Lucas Matthysse akiwa amelala chini baada ya kuangushwa na mpinzani wake, Manny Pacquiao usiku wa kuamkia leo katika pambano la kuwania taji la WBA uzito wa welter mjini Kuala Lumpur, Malaysia. Kuala Lumpur on Sunday. Pacquiao mwenye umri wa miaka 39, ameshinda kwa Knockout (KO) raundi ya saba baada ya kumuangusha Matthysse mara tatu na kuweka rekodi ya kushinda mapambano 60 kati ya 69 aliyocheza, akipoteza saba na sare mbili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Park footballer kicks 22 GOALS in record 340 point Aussie Rules hammering -
and he was only filling in at forward to make up the numbers
-
An Adelaide Footy League club has put on a record flogging to kick off its
2024 season, with a midfielder turned forward blasting an incredible 22
goals in...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment