![]() |
| Wa pili kushoto ni aliyewahi kuwa Meneja wa Yanga SC, Karigo Godson ambaye kwa sasa anafanya biashara Afrika Kusini |
![]() |
| Vijana walijitahidi kuisapoti timu yao, lakini bahati haikuwa yao leo |
![]() |
| Wapo waliokuja kutoka Johannesburg na bango lenye picha ya baba wa taifa, marehemu Mwalimu Julius Nyerere lenye ujumbe; "Wanadamu wote ni ndugu zangu na Afrika Moja" |







.png)
0 comments:
Post a Comment