• HABARI MPYA

    Tuesday, November 05, 2013

    MOYES AWATAKA MAREFA KUMLINDA JANUZAJ KAMA MESSI

    KOCHA David Moyes amesema winga Adnan Januzai lazima alindwe na marefa baada ya Sascha Riether kuwa mchezaji wa kwanza kuadhibiwa chini ya sheria mpya baada ya marefa kutoona tukio uwanjani . 
    Mshambuliaji huyo kinda alikuwa alichezewa rafu na beki huyo wa Fulham, United ikishinda 3-1 Uwanja wa Craven Cottage Jumamosi. 
    Refa Lee Probert na wasaidizi wake hawakuona tukio hilo wakati linatokea, lakini marudio ya picha za video yanaonyesha vizuri. 
    Mlinzi: Marouane Fellaini akiwa na Adnan Januzaj, ambayealichezewa rafu na Sascha Riether Jumamosi
    Protection: David Moyes has said Januzaj needs protection from referees
    Ulinzi: David Moyes amesema Januzaj anahitaji kulindwa na marefa
    Taking a look: Manchester United players inspect the Estadio Anoeta pitch ahead of their match with Real Sociedad Tuesday night
    Umewaona: Wachezaji wa Manchester United wakiwa kwenye Uwanja wa Estadio Anoeta kuelekea mechi yao ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Real Sociedad usiku wa leo
    Learning to cope: Moyes says the teenager is 'learning to cope' with the rough and tumble
    Anajifunza: Moyes amesema kinda huyo anajifunz namna ya kukabiliana na rafu
    Charged: Sascha Riether has been charged by the FA for violent conduct - he is the first to be done so under a new pilot scheme that charges retrospectively
    Adhabu: Sascha Riether ameadhibiwa na FA kwa tukio hili
    Messi example: Januzaj deserves more protection from referees, says Moyes
    Kama Messi: Januzaj anastahili kulindwa zaidi na marefa, amesema Moyes

    Na kwa sababu huyo, beki huyo wa pembeni ameadhibiwa na FA kwa kufungiwa mechi tatu.
    Inamaanisha Riether anakuwa mchezaji wa kwanza kuadhibiwa chini ya sheria mpya ya FA, kumuadhibu mchezaji ambaye alifanya kosa lakini halikuonekana kwa marefa wakat wa mechi. 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MOYES AWATAKA MAREFA KUMLINDA JANUZAJ KAMA MESSI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top