WINGA Gareth Bale ameendelea kuthibitisha uchezaji wake ghali duniani, baada ya kuifungia bao la pili Real Madrid ikitoa sare ya 2-2 na Juventus katika Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Mchezaji huyo wa Wales alimtungua kipa Gianluigi Buffon dakika ya 60 kuwapa wenyeji fursa ya kuongoza kwa 2-1, dakika nane baada ya Cristiano Ronaldo kuisawazishia Real, kufuatia Arturo Vidal kutangulia kuwafungia wenyeji kwa penalti.
Mshambuliaji wa Hispania, Fernando Llorente aliisawazishia Juve dakika tano tangu Bale aifungia timu hiyo bao la ushindi.

Finding his feet: Bale screams with delight after netting his fourth goal in Real Madrid colours

Simple finish: Cristiano Ronaldo lifts the ball over Juventus keeper Gianluigi Buffon to put Real Madrid 2-1 up

I'm the man: Ronaldo celebrates after bringing Real Madrid level

Unstoppable: Juventus midfielder Arturo Vidal places his penalty out of the reach of Iker Casillas to give his side the lead

Brave header: Juventus striker Fernando Llorente ducks to head his side level

Fans' favourite: Llorente celebrates with his team-mates and the home crowd after securing a point for Juventus

Tough tackle: Real's Luka Modric brings down former Manchester United midfielder Paul Pogba

Keen observer: Madrid boss Carlo Ancelotti watches Ronaldo challenge Kwadwo Asamoah for the ball

Still smiling: Ronaldo takes a breather after losing the ball in midfield

Heads up: Bale challenges Juve goalscorer Vidal in the air

Jumping for joy: Madrid defender Pepe climbs on top of his team-mates to celebrate Bale's strike



.png)
0 comments:
Post a Comment