• HABARI MPYA

    Tuesday, November 05, 2013

    HIVI NDIVYO YANGA SC 'INAVYOMPASUA KICHWA' MHOLANZI ERNIE BRANDTS

    Kocha Mkuu wa Yanga SC, Mhoalnzi Ernie Brandts kulia akikuna kichwa wakati wa mazoezi ya timu yake asubuhi ya leo Uwanja wa Bora,Kijitonyama, Dar es Salaam. Kushoto ni Kocha Msaidizi, Freddy Felix Minziro.

    Kutoka kulia Didier Kavumbangu, Haruna Niyonzima, Simon Msuva na Said Baanuzi

    Wachezaji wakinyoosha viungo

    Yanga watacheza na JKT Oljoro keshokutwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaa katika mchezo wa mwisho wa mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu

    Hapa dua

    Ofisa Mtendaji wa Yanga SC, Patrick Naggi raia wa Kenya, kushoto akizungumza na kiungo Haruna Niyonzima

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: HIVI NDIVYO YANGA SC 'INAVYOMPASUA KICHWA' MHOLANZI ERNIE BRANDTS Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top