• HABARI MPYA

    Monday, November 04, 2013

    BARCELONA SASA HATARINI KUSHUSHWA LA LIGA

    KLABU ya Atletico Madrid imewasogelea vinara wa La Liga, Barcelona kileleni kufuatia ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Athletic Bilbao usiku huu.
    Shukwani kwao, wfungaji wa mabao hayo, Diego Costa na David Villa.
    Huo unakuwa ushindi wa sita mfululizo kwa timu ya Diego Simeone Uwanja wa Vicente Calderon na maana yake sasa wanazidiwa pointi moja na mabingwa hao, Barca.
    Athletic, wakati huo huo ililazimika kucheza pungufu baada ya Erik Moran kutolewa nje kwa kadi nyekundu.

    Strike partnership: David Villa (left) and Diego Costa (right) both got on the scoresheet in Atletico's 2-0 win over Athletic Bilbao on Sunday
    Prolific: Costa, who will soon play for Spain despite his Brazilian birth, could rival Lionel Messi and Cristiano Ronaldo for top scorer in La Liga
    Prolific: Costa, who will soon play for Spain despite his Brazilian birth, could rival Lionel Messi and Cristiano Ronaldo for top scorer in La Liga
    Fortress: Atletico have won six in a row at home, and are just a point behind Barcelona
    Fortress: Atletico have won six in a row at home, and are just a point behind Barcelona

    Valencia ilimaliza unyonge wa kufungwa mechi tatu, kwa ushindi wa 1-0 dhidi ya Getafe.Los Che walifungwa nyumbani na Almeria katikati ya wiki.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BARCELONA SASA HATARINI KUSHUSHWA LA LIGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top