Wachezaji wa Real Madrid wakipongezana kwa ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Al Ain kwenye Fainali ya Klabu Bingwa ya Dunia ya FIFA Jumamosi Uwanja wa Sheikh Zayed Sports City mjini Abu Dhabi na kutwaa taji hilo kwa mara ya tatu mfululizo. Mabao ya Real Madrid yamefungwa na Luka Modric dakika ya 14, Marcos Llorente dakika ya 60, Sergio Ramos dakika ya 78 na Yahia Nader aliyejifunga dakika ya 90 na ushei wakati la Al Ain limefungwa na Tsukasa Shiotani dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lando Norris squirms on stage as his American McLaren boss makes 'domestic
violence joke' about his wife and reels off a string of expletives in
off-the-rails post-season party speech
-
F1 fans have been left shocked after McLaren boss Zak Brown went on an
unhinged rant in his end of season speech
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment