Baadhi ya wachezaji wa Pilsner FC ya Dar es Salaam, iliyokuwa inamilikiwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) iliyomaliza nafasi ya pili kwenye Ligi Daraja la Kwanza (sasa Ligi Kuu) Tanzania Bara mwaka 1989, nyuma ya Yanga SC waliobuka mabingwa. Kutoka kulia Charles Msami (marehemu), Abdallah Suleiman ‘Kaburu’, Frank Muhando, Athanas Michael, Suleiman Mkati, Andrew Godwin, Rajab Rashid ‘Double R’ (marehemu) na Abdallah Sumbwa (marehemu).
Russia is a threat to the UK and our sons and daughters must be ready to
fight, armed forces chief warns
-
Chief of defence staff Richard Knighton warned the situation is ‘more
dangerous than I have known during my career’
26 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment