Kipa wa Southampton, Alex McCarthy akiokoa dhidi ya mshambuliaji wa Arsenal, Pierre-Emerick Aubameyang leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa St. Mary's. Southampton imeshinda 3-1 mabao yake yakifungwa na Danny Ings mawili dakika za 20 na 44 na Charlie Austin dakika ya 85, wakati ya Arsenal yamefungwa na Henrikh Mkhitaryan dakika za 28 na 53 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The willingness of Man United's bungling bigwigs to cash in on Bruno
Fernandes is incredible - brain farts are their modern DNA, writes RIATH
AL-SAMARRAI
-
How to fix the dire mess of the 2024-25 campaign? Here's an idea: offload
Bruno Fernandes, the best player, one of the few guys in a dressing room of
drift...
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment